Hospitali ya Dodoma Christian Medical Centre (DCMC) kwa kushirikiana na Madaktari Bingwa bobezi kutoka Marekani watakuwa na kambi ya uchunguzi na upasuaji wa Magonjwa ya Macho 02-06 Februari 2025
HUDUMA ZITAKAZOTOLEWA
- Uchunguzi wa Magonjwa ya Macho
- Upasuaji Mtoto wa Jicho
- Huduma ya Miwani ya kusomea
HUDUMA ZITAKAZOTOLEWA
- Dr. Francisco Msonge +255 684 645 712
- DCMCT Hospital Number +255 629 999 992
- Dr. Yohana Masonda +255 752 237 966
“HUDUMA HIZI HAZITAKUWA NA MALIPO YOYOTE”